Siku mbili zilizopita iliripotiwa taarifa ya wasanii wawili wa muziki wa bongo fleva kuwa wameingia katika bifu kubwa la kumgombania mwanamke mmoja kama alivyosema Msami.

Ilisemekana kuwa tifu likianza baada ya namba ya mwanamke wa AT imekutwa ikiishi ndani ya simu ya Msami baby na kuwa chanzo cha wawili hao kuwa katika bifu zito.

Bongoswagz imeyakamata maneno aliyoyasema AT kuhusiana na bifu hilo na ameamua kumpasha Msami kama kawaida yake msanii huyo anaefanya vizuri kwebye miondoko ya mduwara.


Sasa unaweza kutuachia Cooment yako kuhusianan na Bifu hizi za wasanii wa bongo zinazozuka siku hadi siku.

Post a Comment

 
Top