Aunty Ezekiel Amshushua Wema Sepetu Mtandaoni !
Wengi kwenye mitandao ya kijamii wakajua kuwa tofauti zao zimeisha lakini chaajabu ni tukio lililotoeka jana pale ambapo Aunty Ezekiel alipo weka picha Instgram kumtakia heri ya kuzaliwa mmoja wa amrafiki zake na Wema Sepetu ku comment kwenye post hiyo.
Dakika kadhaa tu Aunty Ezekiel alirejea kumjibu Wema kwakumwambia aachane naye!
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.